Naambatanisha picha ya muonekano wa supu ya Aspergers ili ukienda kwenye super market uweze kuitambua. Hii inapatikana kwenye super market na maduka madogo. |
Labda niingie kidogo kuongeza
ninayoyajua,nguvu za kiume ni asili ya mtu kuwa na nguvu hizo na sio madawa kama
tunavyodhani. Mtu unaweza kuwa na nguvu za kiume tokea ujana wako mpaka
unapofikia uzee wako.Kuna baadhi ya vijana hukosa nguvu za kiume kwa sababu
kadhaa na kadhaa. Wengi wa watu hukosa nguvu za kiume kwa kuwa na msongo mkubwa
wa mawazo na wengine hukosa nguvu za kiume kwa kufanya kazi
nzito.
Watu wenye msongo wa mawazo hukosa
nguvu za kiume kwa kuwa kila dakika iendayo kwa MUNGU wao huwa na stress zao
ambazo haziepukiki.Na kuna watu huwa wanafanya kazi ngumu sana kutokana na ugumu
wa maisha bila kujua kuwa kazi zile zinawasababishia kupoteza nguvu za kiume.Kwa
upande wa vijana wengi wale wanaopendelea kuangalia picha au video za (x)
hupoteza nguvu zao bila kujielewa.
Kwa wale wanaofanya kazi nzito kama
kubeba mizigo mizito au kufanya kazi kwa muda mrefu nao hupoteza nguvu zao bila
ya wao kujielewa, hata kwa wafanyakazi wa maofisini kadhalika kwa kukaa kwa muda
mrefu kwenye viti vyao hupoteza nguvu za kiume bila wao
kujielewa.
VICHOCHEO VYA NGUVU ZA
KIUME.
Kuna baadhi ya waungwana wamejaribu
kutuwekea baadhi ya vyakula/vinywaji kwa kusema vinaongeza nguvu za kiume...kwa
upande wangu siwezi kubisha kwamba haviongezi nguvu za kiume ila mtazamo wangu
ni kwamba hivyo ni vichocheo vya hisia za mapenzi na sio 100% kwamba vinaongeza
nguvu za kiume.Nguvu za kiume ni asili ya mtu na jinsi unavyoujali mwili
wako.nikisema kuujali mwili wako nina maana kwamba unapokula vizuri na kuupa
muda wa kutosha mwili wako basi always utajikuta hukosi nguvu za kutosha za
starehe ya tendo la ndoa.
Jitahidi sana kuupa mwili mapumziko
ya kutosha,fanya mazoezi mara kwa mara kwani mazoezi ni moja ya kigezo cha
kufanya mapenzi kwa kutumia nguvu ukiwa huna nguvu za kutosha hutaweza kufanya
mapenzi kwa ubora na kiwango cha kuridhisha. Nikisema nguvu sina maana unapofanya
mapenzi lazima uwe na mabavu ya kumtimbatimba mwenza wako lahasha... nina maana
ukiwa na pumzi ya kutosha utakuwa na uwezo wa kuyafurahia mapenzi kwa kuwa
utatumia muda wa kutosha kumfikisha mwenza wako na wewe ukamaliza kwa muda
muafaka bila kuvunja rekodi ya dunia.
ASPERGERS SOEP
Kuna kichocheo hiki ambacho sio
siri ni kizuri sana endapo utakuwa unakunywa kila siku au mara kwa mara. Ni supu
ambayo hata mimi napendelea kuitumia kila weekend hata leo asubuhi
nimeitumia,jina la Supu hiyo ni ASPERGERS kwa yoyote mwenye kupenda kuwa na
kichocheo cha mwili wake kuufanya uwe na hisia za mapenzi basi ajaribu kunywa
supu hiyo.Ila ni vyema kwa wale wana ndoa kama mimi kwani awe na uhakika kwamba
usiku au baadae anaingia shambani kulima vinginevyo itakupa tabu sana kwani ina
kichocheo kikubwa sana mwilini.
TAHADHALI
Kwa wale wanaopenda kutumia madawa
ya kuongeza nguvu za kiume,Binafsi nawashauri sio vyema kabisa kwani madhara
yake ni makubwa sana kulinganisha na faida unayoipata kwa muda mfupi. Unaharibu
moyo bila kujua na ukiwa sugu wa kutumia madawa hayo kumbuka siku za usoni
kupoteza kabisa nguvu hizo za kume na kuukaribisha upofu.USHAURI WA BURE
Mapenzi ni starehe hivyo kina baba wenzangu tuyafanye kwa sterehe na sio kama unamkomoa huyo mwenza,tujaribu kufanya mapenzi kwa hamu na sio shibe.Maana kuna baadhi ya watu wanatafuta madawa ya kuongeza nguvu ili wakakomoe..mapenzi huwezi katu kumkomoa mwenza ila unapoteza nguvu nyingi kwa kuwa unatumia nguvu nyingi.
Huu ni ushauri wangu na
maoni yangu kwenu ila kama kutakuwa na mapungufu niwatake radhi. Ahsanteni sana
na nawatakia jumamosi njema.
By Maganga
One
Tupe maoni yako
hii dsoup inapatikana wapi?
ReplyDeleteKaka yangu, mm cna msichana kabisa na ninahtaji kuwa na msichana ila kila ninae mfata anasema anamtu, so naomba ushauri wenu ndugu zangu!
ReplyDeleteShukuru ata hao wanao kwambia wanamtu, wengine watakuchuna na badae utakuja kugundua kuwa ana mtu. Unayo bahat ya kuambiwa ukweli. Usikate tamaa ipo siku utapata wako omba Mungu atakusaidia.
Delete