Kama uko home jumamosi ya leo basi mida hii ya jioni kupitia TBC 1 umetoka kucheki mavituuuuZzz ya hawa majamaa katika kipindi chao 'Ben and mai' ila leo sijamwona kabisa kwenye chupa mwanadada Mai... Where is she bhana?
Kwa nini Islamic State inaichukulia Urusi kama adui
-
Saa chache baada ya shambulio la silaha dhidi ya ukumbi wa tamasha
kaskazini mwa Moscow Ijumaa iliyopita, kundi la Islamic State (IS) lilidai
kuhusika na s...
4 hours ago